Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

ONA MATUKIO YOTE YALIYOJILI WAKATI WA VURUGU ZA SOWETO, ARUSHA


 
 


 



Moto  uliowashwa na baadhi  ya watu wakifunga barabara baada ya kutawanywa na Polisi kwa mabomu  ya machozi katika viwanja vya SOWETO vilivyopo jijini hapa, barabara  Iiliyopo eneo la Kaloleni. (Picha zote na Ferdinand Shayo)


 Moto  ukiwaka katikati ya barabara wakati wa vurugu zilizotokea katika viwanja vya SOWETO mjini Arusha. 



 Wanafunzi wa shule wakijiziba na nguo na kunawa uso baada ya kudhuriwa na mabomu ya machozi yaliyopigwa leo na Polisi waliokuwa wakitawanya  maelfu ya watu waliokuwa kwenye mkutano katika viwanja vya SOWETO. 


Baadhi  ya watu wakifunga barabara baada ya kutawanywa na Polisi kwa mabomu  ya machozi katika viwanja vya SOWETO vilivyopo jijini hapa, Barabara Kuu inayopitisha magari ya mikoani eneo la Kimahama





 
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top