Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

Kibwagizo Cha Mjengwa kuhusu Mandela Na Kesi Ya Uhaini…


4 a7a55
Mwaka 1956 utawala wa Makaburu uliwakamata watu 156 akiwamo Nelson Mandela. Walifungulia mashtaka ya uhaini.  Na baada ya hapo ikapigwa marufuku ya mikutano na mikusanyiko yoyote ya kisiasa. Na Nelson Mandela anasema;“ Marufuku ile ilikuwa haina maana yeyote, maana, karibu wajumbe wote wa Kamati Kuu ya Taifa ya ANC ( Wajumbe wa NEC) walikuwa miongoni mwa waliokamatwa. Hivyo, kila jioni, tukiwa  kwenye mapumziko yetu gerezani, tulikusanyika na kuongea mambo yetu ya siasa!”- Nelson Mandela.
Maggid
0754 678 252

Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top