Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

Jeshi la polisi kanda maalumu ya Dar es salaam limewatia mbaroni majambazi tisa akiwemo askari wa kituo cha polisi Oysterbay


Jeshi la polisi kanda maalumu ya Dar es salaam limewatia mbaroni majambazi tisa wa kutumia siraha akiwemo askari polisi wa kituo cha Kipolisi oysterbay  jijin Dar es salaam.

Kamishna wa polisi kanda maalumu ya Dar es salaamu  Bw.suleimani Kova amesema majambazi hao wamekamatwa katika operesheni maalum ya jeshi hilo ambapo pia walifanikiwa kukamata sare za jeshi la wananchi Tanzania(JWTZ) zinazoaminika kutumika katika uhalifu pamoja na silaha na risasi
Aidha kamanda kova ameeleza kukamata magari yanayosadikika kutumika katika uhalifu tofauti pamoja na yenye namba za usajili T865CEH aina ya carina,na T967 AUG carina.
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top