Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

MATUKIO KATIKA MSIBA WA NEMELA MANGULA, MTOTO WA MZEE MANGULA

 


Viongozi mbalimbali wa Chama na Serikali wakiwa pamoja kumpa pole Mzee Philip Mangula kwa kufiwa na mwanawe Nemela Mangula.

Baadhi ya waombolezaji mbalimbali katika msiba wa Nemela Mangula wakiwa wamegubikwa na huzuni wakiwa nyumbani kwa baba wa Marehemu Masaki jijini Dar es salaam.

Mzee Mangula akiwa pamoja na viongozi mbalimbali wa Chama na Serikali waliofika nyumbani kwake kumpa pole kwa kufiwa na Mwanawe.

Akina mama mbalimbali waliojumuika na familia ys Mzee Mangula katika kuomboleza msiba wa Nemela Mangula.
Makamu Mwenyekiti wa Jumuiya ya Umoja wa Vijana Taifa Ndugu Mboni Mhita akisaini kitabu cha Maombolezo ya Msiba wa Nemela P. Mangula Mtoto wa Makamu Mwenyekiti wa CCM Taifa Bara Ndugu Mboni Mhita
Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa Uchumi na fedha Mama Zakhia Mengi akisaini Kitabu cha Maombolezo.

Mama Asharose Migiro Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa SUKI akiwa katika maombolezo ya msiba wa Nemela P Mangula

Paul Christian Makonda akisaini Kitabu Cha Maombolezo ya Msiba wa Mtoto wa Makamu Mwenyekiti wa CCM Taifa Bara Mzee Philip Mangula.



Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mheshimiwa Mecky Sadick akisaini kitabu cha maombolezo ya msiba wa Nemela Mangula mtoto wa Makama Mwenyekiti Bara Mzee Philip Mangula.

Mama Salma Kikwete,Mke wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa akiwa anasaini kitabu cha maombolezo ya msiba wa Nemela.


Baadhi ya waombolezaji katika msiba wa Nemela Mangula
video

Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top