Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

WAUMINI WA DINI YA KIISLAMU WAHIMIZWA KUENDELEA NA MATENDO MEMA WALIYOKUWA WANAYANFANYA KIPINDI CHA MFUNGO WA MWEZI MTUKU WA RAMADHANI

 


Baadhi ya waumini wa Dini ya kiislamu wakishiriki swala ya idd el Fitri iliyoswaliwa kimkoa katika viwanja vya Mnazi Mmoja, Dar es Salaam leo.     
 Waumini wa Dini ya Kiisilamu  mkoani Dar es Salaam wakiswali katika viwanja vya Mnazi Momoja Dar es Salaam
 wakiomba dua
Sehemu ya Waumini wa dini ya Kiislamu waliojitokeza kuhudhuria Swala ya Sikukuu ya Iddi, iliyoswaliwa Kitaifa kwenye Uwanja wa Ali Hassan Mwinyi, Mkoani Tabora leo


Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akiagana na Mufti Mkuu wa Tanzania, Shaaban Bin Simba, mara baada ya Swala ya Iddi iliyofanyika Kitaifa kwenye Uwanja wa Ali Hassan Mwinyi, Mkoani Tabora leo

Sheikh wa mkoa wa Dar es Salaam Mussa Salum, Mwenyekiti wa CU, Profesa Ibrahim Lipumba wakishiriki swala ya idd el fitri katika viwanja vya Mnazi Mmoja.
Baadhi ya waumini wa Dini ya Kiislamu mkoani Dar es Salaam wakishiriki swala ya Idd el Fitri
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top