Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

MKUTANO WA MAAFISA WANADHIMU, MAAFISA MIPANGO NA UGAVI PAMOJA NA WAHASIBU WA JESHI LA POLISI UNAOENDELEA MOSHI MKOANI KILIMANJARO KATIKA CHUO CHA TAALUMA YA POLISI

 



1Muhasibu Mkuu wa Jeshi la Polisi Bw. Frank Msaki, Afisa Mnadhimu wa Polisi makao makuu, kamishina msaidizi  Hassan Mbezi wakifuatilia mada katika mkutano unaofanyika Moshi, Mkoani Kilimanjaro katika Chuo cha Taaluma ya Polisi. Picha naTamimu Adam, Jeshi la Polisi.
  2
Mkuu wa Maduka ya Polisi Kamishina Msaidizi wa Polisi Ally Omari akitoa mada katika mkutano unaofanyika Moshi, Mkoani Kilimanjaro katika Chuo cha Taaluma ya Polisi. Picha naTamimu Adam, Jeshi la Polisi. 3Wajumbe wakifuatilia mada mbalimbali zinazowasilishwa katika mkutano unaofanyika Moshi, Mkoani Kilimanjaro katika Chuo cha TaalumayaPolisi.PichanaTamimu Adam, Jeshi la Polisi.
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top