Naibu
Spika wa Bunge Job Ndugai akimwamuru Kiongozi wa Upinzani Bungeni,
Freeman Mbowe kukaa chini, Bungeni Mjini Dodoma Septemba 5, 2013. (Picha
na Ofisi ya Waziri Mkuu)






ani ya bunge wakati akitolewa ndani ya ukumbi wa bunge hilo mjini Dodoma leo. Picha kwa hisani ya Abuubakari Nasibu.
Kiongozi
wa Upinzani Bungeni, Freeman Mbowe akiongoza wabunge wa CHADEMA kutoka
Bungeni mjini Dododma baada ya kuamriwa kufanya hivyo na Naibu Spika wa
Bunge, Job Ndugai Septemba 5, 2013. (Picha na Ofisi ya waziri Mkuu)
wakuu hii ni aibu, sasa huyo mbunge ndio kafanya nini, kweli kutafuta kura za 2015 si mchezo, watu wataanza hata kukojoa bungeni ili waonekana nao wamo
wakuu hii ni aibu, sasa huyo mbunge ndio kafanya nini, kweli kutafuta kura za 2015 si mchezo, watu wataanza hata kukojoa bungeni ili waonekana nao wamo
Post a Comment