Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

SAKATA LA VURUGU ZA BUNGENI LILIVYOKUWA .... ISHU NZIMA ILIKUWA HIVII ...

IMG_0032 
Naibu Spika wa Bunge Job Ndugai akimwamuru Kiongozi wa Upinzani Bungeni, Freeman Mbowe kukaa chini, Bungeni Mjini Dodoma Septemba 5, 2013. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
IMG_0069 Wabunge wa Chadema wakiwa wamesimama kukaidi amri ya Naibu spika, Job Ndugai ya kuwataka wakae chini , Bungeni Septemba 5, 2013. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
IMG_0073IMG_0104 IMG_0119 IMG_0124Wabunge wa CHADEMA wakipambana na Polisi, Bungeni Mjini Dodoma Septemba 5,2013. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu) Askari wa bunge la jamhuri wa Muungano wa Tanzania wakimdhibiti Mhe mbunge wa Chadema jimbo la Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi a.k.a Suga nd
ani ya bunge wakati akitolewa ndani ya ukumbi wa bunge hilo mjini Dodoma leo. Picha kwa hisani ya Abuubakari Nasibu.





IMG_0131
Kiongozi wa Upinzani Bungeni, Freeman Mbowe akiongoza wabunge wa CHADEMA kutoka Bungeni mjini Dododma baada ya kuamriwa kufanya  hivyo na Naibu Spika wa  Bunge, Job Ndugai Septemba 5, 2013. (Picha na Ofisi ya waziri Mkuu)

wakuu hii ni aibu, sasa huyo mbunge ndio kafanya nini, kweli kutafuta kura za 2015 si mchezo, watu wataanza hata kukojoa bungeni ili waonekana nao wamo
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top