Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

CRDB YATUMIA MILIONI 50 KUKARABATI WARD YA WAJAWAZITO HOSPITALI YA BUGANDO MWANZA


Mkuu wa mkoa wa Mwanza Injinia Evarist Ndikilo akikata utepe kuashiria ufunguzi ward ya wajawazito katika hospitali ya Rufaa Bugando jijini Mwanza ambapo CRDB iliifunga kwa muda ward hiyo ilikuifanyia ukarabati madhubuti na kuwa ya kisasa zaidi. Kutoka kushoto ni Mkuu wa wilaya ya Ilemela Bi. Amina Masenza, Mkurugenzi wa BMC Prof. Charles Majinge, Mkurugenzi mtendaji wa CRDB Dr. Charles Kimei (aliyenyanyua mkono), Mkuu wa wilaya ya Nyamagana Baraka Konisaga na mmoja kati ya maafisa wa CRDB. 

Mkuu wa mkoa wa Mwanza Injinia Evarist Ndikilo akifungua pazia la bango la wadhamini katika hafla ya kukabidhi ward ya wajawazito Hospitali ya Rufaa Bugando Mwanza iliyokarabatiwa na CRDB Benki. 

Pia CRDB imekabidhi mablanketi, vyandarua, vitanda na mashuka pamoja na mapazia ya kusitiri huduma maalum kwa ward ya wajawazito Bugando.

Huduma ya Afya ya mama na mtoto inakabiliwa na changamoto nyingi sana moja wapo ni ugonjwa wa malaria ambao umekuwa moja ya vyanzo vikuu vya vifo vya watoto nchini, kwa kuliona hilo CRDB wamehakikisha kila kitanda kina neti yenye ukubwa wa kutosha.

Kamanda wa polisi mkoa wa Mwanza Ernest Mangu akishiriki utandikaji mashuka na blanketi katika ward ya wajawazito Hospitali ya Rufaa Bugando iliyokarabatiwa na CRDB Bank.
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top