Msafara
wa Magari ambao moja wapo (la mbele) likiwa limebeba jeneza lenye mwili
wa marehemu Julius Nyaisanga ukiingia kwenye viwanja vya leaders muda
huu kwaajili ya wakazi wa jiji la Dar kuweza kutoa heshima zao za mwisho
kwa Mwili wa Marehemu Julius Nyaisanga kabla ya Kusafirisha Kwao Tarime
Mkoani Mara
Baadhi
ya Ndugu, Jamaa na marafiki wakibeba jeneza lenye Mwili wa Marehemu
Julius Nyaisanga Kwaajili ya kupeleka sehemu husika tayari kwa kutoa
heshima za mwisho kwa wakazi wa jiji la Dar waliofika katika viwanja vya
leaders muda huu
Sehemu
Jeneza lenye Mwili wa Marehemu Julius Nyaisanga litakapowekwa kwaajili
ya wakazi wa jiji la dar kuweza kutoa heshima zao za mwisho kabla ya
kusafirishwa kwenda Tarime Mkoani Mara
Baadhi ya wakazi wa jiji la dar waliojitokeza katika viwanja vya leaders .
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Dkt. Mohamed Gharib Bilal akitoa heshima za mwisho kwa Mwili wa Marehemu
Julius Nyaisangah aliewahi kuwa ni mmoja wa viongozi waanzilishi wa
Kituo cha Radio One, akitokea Radio Tanzania (RTD).Marehemu Nyaisangah
atakumbukwa sana kwa uwezo wake mkubwa wa kusoma Habari pamoja na
vipindi vya muziki,Matamshi yake laini na ufasaha mkubwa wa lugha ya
Kiswahili, vilimtofautisha kabisa na watangazaji wengine.
Mwenyekiti wa Makampuni ya IPP,Dkt. Reginard Mengi akitoa heshima za mwisho kwa Mwili wa Marehemu Julius Nyaisangah.
Mkuu wa Wilaya ya Bahi,Mh. Betty Mkwasa ambaye alifanya kazi pamoja na Marehemu Julius Nyaisangah akitoa heshima za mwisho.
Mwenyekiti wa Makampuni ya IPP,Dkt. Reginard Mengi akitoa heshima za mwisho kwa Mwili wa Marehemu Julius Nyaisangah.
Mkuu wa Wilaya ya Bahi,Mh. Betty Mkwasa ambaye alifanya kazi pamoja na Marehemu Julius Nyaisangah akitoa heshima za mwisho.
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) na Mkuu wa Kambi ya Upinzani Bungeni,Mh. Freeman Mbowe akitoa heshima za mwisho kwa Mwili wa Marehemu Julius Nyaisangah.
Mwenyekiti
wa Makampuni ya IPP,Dkt. Reginard Mengi akiwasili kwenye Viwanja vya
Leaders Club,jijini Dar es Salaam leo kushiriki Kuaga Mwili wa Marehemu
Julius Nyaisangah.Wanaompokea ni Wajumbe wa Kamati ya Mazishi (kushoto)
ni Aboubakar Liongo na kulia ni Teddy Mapunda.
Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Dkt. Mohamed Gharib Bilal
akisalimiana na Mwenyekiti wa Makampuni ya IPP,Dkt. Reginard Mengi
wakati akiwasili kwenye Viwanja vya Leaders Club,jijini Dar es Salaam
kuungana na Waombolezaji wengine kuaga Mwili wa Marehemu Julius
Nyaisangah
Picha zote na Josephat Lukaza wa Lukaza blog








Post a Comment