Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

NAIBU KATIBU MKUU WA WIZARA YA UCHUKUZI AFUNGA MKUTANO WA 7 WA MAPITIO YA UTENDAJI WA SEKTA YA UCHUKUZI (JTSR 2013)

 


DSC_0115
Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Uchukuzi, Mrs. Monica Mwamunyange akitoa hotuba ya kufunga Mkutano wa 7 wa mapitio ya utendaji wa sekta ya Uchukuzi uliofanyika jijini Dar es Salaam kwa siku mbili. Hotuba hiyo ilisomwa kwa niaba ya Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi.
DSC_0106Mwenyekiti wa washirika wa maendeleo, Dk. Yazuru Ozeki, akitoa hotuba yake kwa niaba ya washirika wa maendeleo walioshiriki kwenyemkutano wa 7 wa mapitio ya Sekta ya Uchukuzi,uliofanyika kwa siku mbili jijini Dar es Salaam.
 DSC_0077
Bw. Hassan Malik kutoka Shirika la Reli Tanzania (TRL), akiwasilisha mada ya utendaji wa Shirika hilo kwa Niaba ya Mkurugenzi Mkuu wa Shirika kwenye mkutano wa Mapitio ya Sekta ya Uchukuzi jana jioni. Mkutano huo wa siku mbili umewakutanisha wadau mbalimbali pamoja na wahisani kujadili changamoto na nama ya kukabiliana na chngamoto zilizopo kwenye sekta ya Uchukuzi DSC_0070
Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Uchukuzi, Mrs. Monica Mwamunyange akisikiliza kwa makini mada mbalimbali zilizowasilishwa katika mkutano wa 7 wa mapitio ya utendaji wa sekta ya Uchukuzi kabla ya kufunga jana jioni. Kushoto kwa NAibu Katibu Mkuu ni Meneja Mawasiliano wa Mamlaka ya Udhitbi wa Usafiri wa Nchi Kavu na Majini (SUMATRA), Bw. David Mziray.
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top