Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

ONA JINSI WALIOKUWA WAKIJIFUNZA UGAIDI WALIVYOPANDISHWA KIZIMBANI KWA ULINZI MKALI AJABU

 

5
Kwa mujibu wa jeshi la Polisi Mtwara, mwanzoni walikamatwa 11 baada ya jeshi la polisi kupata taarifa kwamba kulikua na watu waliokua wakifanya mazoezi ya kivita kwa kutumia CD za vikundi vya kigaidi vya Al Qaeda na Al Shabaab ambapo walikamatwa na hizo CD kuonekana pia pamoja na silaha mbalimbali lakini baadae walikamatwa wengine wawili na kufanya idadi kuwa 13.

Taarifa ya jeshi la Polisi leo inasema leo walipelekwa Mahakamani na watarudishwa tena Mahakamani tarehe 4 November 2013.

4

2

6

7

11

13

10

12

3

8

9

1

MILLARD AYO

Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top