| Mke wa Marehemu, Maria Kombe (katikati) pamoja na watoto wake wakifuatilia ibada ya Maziko ya Mume wake, aliyekuwa Mkuu wa kitengo cha Usalama Barabarani, Kamishna Msaidizi wa Polisi, James Kombe, aliyezikwa Jana Nyumbani kwake, kijiji cha Msae, Kata ya Mwika, wilaya ya Moshi Vijijini, mkoani Kilimanjaro. |
| Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro, Leonidas Gama (katikati), Kamanda wa Polisi Mkoani Kilimanjaro, Robert Boaz (kulia) na Kaimu kamanda wapolisi mkoani Kilimanjaro, Moita Koka, wakitoa heshima za mwisho katika Jeneza la aliyekuwa Mkuu wa kitengo cha Usalama Barabarani, Kamishna Msaidizi wa Polisi, James Kombe, aliyezikwa Jana Nyumbani kwake, kijiji cha Msae, Kata ya Mwika, wilaya ya Moshi Vijijini, mkoani Kilimanjaro. |
| Mwili wa aliyekuwa Mkuu wa kitengo cha Usalama Barabarani, Kamishna Msaidizi wa Polisi, James Kombe, ukiondolewa kanisani katika kanisa la KKKT, usharika wa Msae kuelekea Nyumbani kwake kwa ajili ya zoezi ya Maziko yaliyofanyika Jana, kijijini Msae, kata ya Mwika, wilaya ya Moshi Vijijini, Mkoani Kilimanjaro. |
| Askofu Mkuu wa KKKT kanda ya Kaskazini, Dkt. Martin Shao, akiweka Ua katika Kaburi la aliyekuwa Mkuu wa kitengo cha Usalama Barabarani, Kamishna Msaidizi wa Polisi, James Kombe, aliyezikwa Jana Nyumbani kwake, kijiji cha Msae, Kata ya Mwika, wilaya ya Moshi Vijijini, mkoani Kilimanjaro. |
| Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro, Leonidas Gama, akiweka Ua katika Kaburi la aliyekuwa Mkuu wa kitengo cha Usalama Barabarani, Kamishna Msaidizi wa Polisi, James Kombe, aliyezikwa Jana Nyumbani kwake, kijiji cha Msae, Kata ya Mwika, wilaya ya Moshi Vijijini, mkoani Kilimanjaro. |
| Kamanda wa Polisi kilimanjaro, Robert Boaz na Kamanda wa Polisi Arusha, Liberatus Sabas (mwenye suti) wakiweka Ua katika Kaburi la aliyekuwa Mkuu wa kitengo cha Usalama Barabarani, Kamishna Msaidizi wa Polisi, James Kombe, aliyezikwa Jana Nyumbani kwake, kijiji cha Msae, Kata ya Mwika, wilaya ya Moshi Vijijini, mkoani Kilimanjaro. |
| Mke wa Marehemu, Maria Kombe, akiweka Ua katika Kaburi la Marehemu mume wake, aliyekuwa Mkuu wa kitengo cha Usalama Barabarani, Kamishna Msaidizi wa Polisi, James Kombe, aliyezikwa Jana Nyumbani kwake, kijiji cha Msae, Kata ya Mwika, wilaya ya Moshi Vijijini, mkoani Kilimanjaro. |
| Wanafamilia wakiweka Ua katika Kaburi la aliyekuwa Mkuu wa kitengo cha Usalama Barabarani, Kamishna Msaidizi wa Polisi, James Kombe, aliyezikwa Jana Nyumbani kwake, kijiji cha Msae, Kata ya Mwika, wilaya ya Moshi Vijijini, mkoani Kilimanjaro. |
| Watoto wa Marehemu Kombe, wakiongozwa na Kaka yao, Dustan Kombe kuweka Ua katika Kaburi la aliyekuwa Mkuu wa kitengo cha Usalama Barabarani, Kamishna Msaidizi wa Polisi, James Kombe, aliyezikwa Jana Nyumbani kwake, kijiji cha Msae, Kata ya Mwika, wilaya ya Moshi Vijijini, mkoani Kilimanjaro. |
| Jaji wa Mahakama Kuu kanda ya Moshi, Mkoani Kilimanjaro, Aisha Nyerere, akiweka Ua katika Kaburi la aliyekuwa Mkuu wa kitengo cha Usalama Barabarani, Kamishna Msaidizi wa Polisi, James Kombe, aliyezikwa Jana Nyumbani kwake, kijiji cha Msae, Kata ya Mwika, wilaya ya Moshi Vijijini, mkoani Kilimanjaro. |
| Vijana wa Jeshi la Polisi, wakitoa Heshima za mwisho katika kaburi la aliyekuwa Mkuu wa kitengo cha Usalama Barabarani, Kamishna Msaidizi wa Polisi, James Kombe, kwa Mujibu waTaratibu zaKijeshi. Kombe alizikwa Jana Nyumbani kwake, kijiji cha Msae, Kata ya Mwika, wilaya ya Moshi Vijijini, mkoani Kilimanjaro. picha zote na Taifa Letu.com blog |
Na Mwandishi Wetu,
Kilimanjaro
Kilimanjaro
MKUU wa Mkoa wa Kilimanjaro Leonidas Gama, amewaongoza Maelfu
ya
waombolezaji katika mazishi ya Aliyekuwa Mkuu wa kitengo cha Usalama
Barabarani, Kamishna mstaafu, James Kombe (63), aliyefariki dunia
October 21 mwaka huu katika Hospitali ya Ocean Road, jijini Dar es
salaam baada ya kuugua kwa muda mrefu.
Kombe aliyeitumikia Jeshi la Polisi kwa muda wa miaka 24, katika
nyadhifa mbalimbali, alizikwa jana saa 9:40, alasiri, Nyumbani kwake
katika kijiji cha Msae, kata ya Mwika, Jimbo la Vunjo, wilaya ya Moshi
vijijini, mkoani Kilimanjaro baada ya ibada ya maziko iliyofanyika
katika Usharika wa Msae-Lyakrima na kuongozwa na Askofu Mkuu wa KKKT,
dayosisi ya Kaskazini, Dkt. Martin F. Shao.nyadhifa mbalimbali, alizikwa jana saa 9:40, alasiri, Nyumbani kwake
katika kijiji cha Msae, kata ya Mwika, Jimbo la Vunjo, wilaya ya Moshi
vijijini, mkoani Kilimanjaro baada ya ibada ya maziko iliyofanyika
katika Usharika wa Msae-Lyakrima na kuongozwa na Askofu Mkuu wa KKKT,
Akitoa Salamu za Rambirambi, Gama alisema serikali imeguswa na msiba
huo huku akimuelezea Marehemu Kombe kama mtu muadilifu, mwaminifu na
mtu asiyekuwa, asiyekuwa na ubinafsi na mzalendo aliyeitumikia Taifa
lake kwa nguvu zake zote hadi dakika za mwisho za uhai wake.
huo huku akimuelezea Marehemu Kombe kama mtu muadilifu, mwaminifu na
mtu asiyekuwa, asiyekuwa na ubinafsi na mzalendo aliyeitumikia Taifa
lake kwa nguvu zake zote hadi dakika za mwisho za uhai wake.
“Ni kweli mazingira yetu kikazi yanatofautiana, lakini ni wazi kuwa
kuna mengi ya kujifunza na kujivunia kutoka kwa Kamishna Kombe enzi za
uhai wake, Marehemu ameacha historia iliyotukuka nyuma yake, alikuwa
ni mtu mwadilifu sana, mwaminifu, mzalendo na mchapa kazi
aliyejitoleakulitumikia Jeshi la Polisi na Taifa kwa ujumla,” alisema
Gama.kuna mengi ya kujifunza na kujivunia kutoka kwa Kamishna Kombe enzi za
uhai wake, Marehemu ameacha historia iliyotukuka nyuma yake, alikuwa
ni mtu mwadilifu sana, mwaminifu, mzalendo na mchapa kazi
aliyejitoleakulitumikia Jeshi la Polisi na Taifa kwa ujumla,” alisema
Kuhusu swala la uwajibikaji na utendaji kazi, Gama alisema wananchi
wengi kwa sasa wanashindwa kufanya kazi za maendeleo hasa mkoani
Kilimanjaro katika maeneo ya Rombo, Marangu na Mwika kutokana na
kukithiri kwa vitendo vya Unywaji pombe holela ambapo aliagiza wakuu
wa wilaya kuhakikisha wanasimamia na kudhibiti hali hiyo.
wengi kwa sasa wanashindwa kufanya kazi za maendeleo hasa mkoani
Kilimanjaro katika maeneo ya Rombo, Marangu na Mwika kutokana na
kukithiri kwa vitendo vya Unywaji pombe holela ambapo aliagiza wakuu
wa wilaya kuhakikisha wanasimamia na kudhibiti hali hiyo.
Awali akiongoza Ibada ya Maziko, Askofu MKuu wa KKKT, dayosisi ya
Kaskazini, Dkt.
Martin Shao, aliwataka waumini wa dini ya Kikristo, wananchi pamoja na
watumishi katika Jeshi la Polisi kufanya yale yaliomema ikiwa kweli
wanataka kuenziwa kama ilivyo kwa Marehemu Kombe.Kaskazini, Dkt.
Martin Shao, aliwataka waumini wa dini ya Kikristo, wananchi pamoja na
watumishi katika Jeshi la Polisi kufanya yale yaliomema ikiwa kweli
Dkt. Shao katika ibada hiyo alimuelezea Marehemu Kombe kama mtu
anayestahili kuenziwa daima kama anavyoenziwa Hayati Baba wa Taifa,
Mwalimu Julius Kambarage Nyerere kutoka na utendaji wake kazi
uliotukuka, uzalendo na Uadilifu pamoja na uwajibikaji katika
kuhakikisha Amani ya Tanzania na usalama wa Wananchi wake.
anayestahili kuenziwa daima kama anavyoenziwa Hayati Baba wa Taifa,
Mwalimu Julius Kambarage Nyerere kutoka na utendaji wake kazi
uliotukuka, uzalendo na Uadilifu pamoja na uwajibikaji katika
kuhakikisha Amani ya Tanzania na usalama wa Wananchi wake.
Kabla ya kifo chake, Kamishna Kombe, alikuwa anasumbuliwa na ugonjwa
wa Kansa ambao ulianza kumsumbua Juni mwaka jana na kutibiwakatika
Hospitali ya Rufaa KCMC mjini Moshi.
wa Kansa ambao ulianza kumsumbua Juni mwaka jana na kutibiwakatika
Hospitali ya Rufaa KCMC mjini Moshi.
James Kombe, aliyezaliwa mwaka 1950, mwika Kilimanjaro ameacha mjane
mmoja, Maria Kombe na watoto watano na kwamba alilitumikia Jeshi la
polisi kuanzia Machi, mwaka 1970 na kulitumikia mpaka alipostaafu
mwaka 2010.
mmoja, Maria Kombe na watoto watano na kwamba alilitumikia Jeshi la
polisi kuanzia Machi, mwaka 1970 na kulitumikia mpaka alipostaafu
mwaka 2010.
Akisoma historia ya Marehemu, Kamanda wa kikosi cha usalama
Barabarani, Joseph Mwakabonga alisema Kamishna Kombe, alijiunga na
Mafunzo ya awali machi 23 mwaka 70 na kumaliza Agosti 28 mwaka huo,
huko Mopshi baada ya kuhitimu elimu ya sekondari mwaka 1969 nchini
Uganda.
Barabarani, Joseph Mwakabonga alisema Kamishna Kombe, alijiunga na
Mafunzo ya awali machi 23 mwaka 70 na kumaliza Agosti 28 mwaka huo,
huko Mopshi baada ya kuhitimu elimu ya sekondari mwaka 1969 nchini
Uganda.
Alisema alipandishwa vyeo kama Mkaguzi wa polisi (1977), Kamishna
msaidizi (1995), Mkaguzi wa polisi (1986), mrakibu mwandamizi (1991)
na Kamishna Msaidizi wa Polisi (2002) hadi alipostaafu
2010.
msaidizi (1995), Mkaguzi wa polisi (1986), mrakibu mwandamizi (1991)
na Kamishna Msaidizi wa Polisi (2002) hadi alipostaafu
2010.


Post a Comment