Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

HAYA NDIO MAPANGA YALIYOTUMIKA KUMSHAMBULIA DR. MVUNGI

 

SONY DSCKamanda wa Polisi wa Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Kamishna (CP), Suleiman Kova (kulia), akionesha mapanga kwa waandishi wa habari na mbele ya Waziri wa Mambo ya Ndani, Dk. Emmanuel Nchimbi (kushoto), Dar es Salaam jana, yaliyotumika kumshambulia Mjumbe wa Tume ya Taifa ya Mabadiliko ya Katiba Mpya, Dk.Sengondo Mvungi wakati akitoa taarifa ya kukamatwa kwa watuhumiwa tisa walioshiriki katika tukio hilo.
(Picha na Philemon Solomon wa Fullshangwe Dar es Salaam)
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top