Kamanda
wa Polisi wa Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Kamishna (CP), Suleiman
Kova (kulia), akionesha mapanga kwa waandishi wa habari na mbele ya
Waziri wa Mambo ya Ndani, Dk. Emmanuel Nchimbi (kushoto), Dar es Salaam
jana, yaliyotumika kumshambulia Mjumbe wa Tume ya Taifa ya Mabadiliko ya
Katiba Mpya, Dk.Sengondo Mvungi wakati akitoa taarifa ya kukamatwa kwa
watuhumiwa tisa walioshiriki katika tukio hilo.
(Picha na Philemon Solomon wa Fullshangwe Dar es Salaam)


Post a Comment