Askofu
Damian Dallu wa Kanisa Katoliki Jimbo la Geita akiongoza ibada ya
mazishi ya aliyekuwa Mjumbe wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba marehemu
Dkt. Sengondo Mvungi katika makaburi ya familia kijijini Chanjale wilaya
ya Mwanga mkoani Kilimanjaro Jumatatu, Novemba 18, 2013.
Mke
wa aliyekuwa Mjumbe wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba marehemu Dkt.
Sengondo Mvungi, Bi. Anna Mvungi akiweka shada la maua katika kaburi la
mume wake wakati wa mazishi kijijini Chanjale wilaya ya Mwanga mkoani
Kilimanjaro Jumatatu, Novemba 18, 2013.
Waziri
wa Uchukuzi Dkt. Harrison Mwakyembe na Mwenyekiti wa NCCR-Mageuzi James
Mbatia wakiweka shada la maua katika kaburi la aliyekuwa Mjumbe wa Tume
ya Mabadiliko ya Katiba Dkt. Sengondo Mvungi wakati wa mazishi kijijini
Chanjale wilaya ya Mwanga mkoani Kilimanjaro JUmatatu, Novemba 18,
2013.


Post a Comment