
Kaimu
Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Leonard
Thadeo akifafanua jambo wakati wa mkutano wake na Mshauri Mwandamizi wa
Shirika la UK Sports la Uingereza Bwana Elias Musangeya (kushoto)
alipotembelea Wizarani hapo kwa ajili ya tathmini ya maendeleo ya mradi
wa International Inspiration leo jijini Dar es Salaam.
Katibu
Mtendaji wa Baraza la Michezo la Taifa Henry Lihaya (kushoto) akielezea
jambo huku Kaimu Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na
Michezo Leonard Thadeo (kulia) na Mshauri Mwandamizi wa UK Sports Elias
Musangeya (katikati) wakimsikiliza kwa makini. Mkutano huo umefanyika
ikiwa ni sehemu ya tathmini ya maendeleo ya mradi wa International
Inspiration.
Kaimu
Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Leonard
Thadeo (kulia) na Mshauri Mwandamizi wa Shirika la UK Sports la
Uingereza Bwana Elias Musangeya (kushoto) wakifurahia jambo
walipokutana ofisini kwa Kaimu Katibu Mkuu huyo kwa ajili ya tathmini ya
maendeleo ya mradi wa International Inspiration leo jijini Dar es
Salaam.
Kutoka
kulia Kaimu Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na
Michezo Leonard Thadeo, Mshauri Mwandamizi wa Shirika la UK Sports la
Uingereza Bwana Elias Musangeya, Katibu Mtendaji wa Baraza la Michezo
la Taifa Henry Lihaya na Mkurugenzi Msaidizi wa Maendeleo ya Michezo
sehemu ya Usajili Bi. Mercy Rwezahura wakiwa katika picha ya pamoja mara
baada ya kikao cha tathmini ya maendeleo ya mradi wa International
Inspiration kilichofanyika leo jijini Dar es Salaam.(Picha zote na Frank
Shija – WHVUM).





Post a Comment