Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

PICHA ZAIDI ZA HALI ILIVYOKUWA MADUKANI KARIAKOO

Mtaa wa Kongo.
Makutano ya barabara ya Uhuru na Msimbazi.
Wamachinga wakiendelea kutesa.…


Mtaa wa Kongo.
Makutano ya barabara ya Uhuru na Msimbazi.
Wamachinga wakiendelea kutesa.
Mtaa wa Msimbazi.
Mtaa wa Tandamti.
WAFANYABIASHARA jijini Kariakoo Dar es Salaam, leo wamefunga maduka yao na kususia kulazimishwa kutumia mashine za kutoza kodi kutoka mamlaka ya mapato nchini TRA. Wakizungumza na mtandao huu wafanyabiashara hao wamepinga kitendo cha kuuziwa mashine hizo kwa shilingi laki 8 pamoja na kutozwa kodi kutokana na mauzo.
(PICHA RICHARD BUKOS / GPL)
 









Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top