Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

BASI LA SAADIA LAPATA AJALI NA KUUA MMOJA



Basi la kampuni ya Saadia linalofanya safari zake kati ya Lindi na dar limepata ajali maeneo ya ya kijiji cha mwanambaya baada ya kugongana na gari dogo na kupelekea kifo cha dereva wa gari hiyo ndogo,Abiria waliokuwa kwenye basi hiyo wote ni wazima na hakuna kifo wala majeruhi.
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top