Jeneffer Kyala ‘Odama’.
MSANII wa sinema za Kibongo, Jeneffer Kyala ‘Odama’ ameamua kupumzika kuigiza hadi atakapojifungua.
“Amesimama kuigiza hadi atakapojifungua, tumbo kwa sasa ni kubwa,” alisema mtu huyo wa karibu. Odama alipotafutwa alisema: “subiri kidogo, nitakucheki baadaye.”
Post a Comment