Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

AFA BAADA YA KUNG'ATWA NA NYOKA MKOANI IRINGA

 


NA FRANK KIBIKI, IRINGA
mkazi wa kijiji cha Ilindi wilayani Kilolo Thomas Kilonge(42), amefariki duania baada ya kung’atwa na nyoka.
 
Kaimu Kamanda wa jeshi la polisi mkoani Iringa, Wankyo Nyigesa alisema tukio hilo limetokea juzi kijijini hapo na kumtaja aliyefariki kuwa ni mkulima wa kijiji cha Ilindi.
 
Hata hivyo alidai kuwa mazingira ya kung’atwa na mdudu huyo bado hayajajulikana na kwamba, jeshi la polisi linaendelea na uchunguzi wake.
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top