Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

AIBU KUBWA:NJEMBA ALEWA CHAKARI HADI ALALA STENDI


Vitabu vya Mungu vinataja kila kitu ni lazima kiwe na kiasi, ukizidisha basi kinachoweza kutokea ni aibu. Jamaa mmoja ambaye jina halikupatikana mara moja, alijikuta akipata aibu ya mwaka baada ya kunywa pombe nakulewa chakari na


Katika hali ya sintofahamu kijana mmoja amekutwa akiwa amelewa chakali na kulala kwenye stendi ya mwenge. kukata ‘netiweki’ jambo lililosababisha ‘aangushe gari’ pembeni mwa stendi ya daladala ya Mwenge jijini Dar. Ishu hiyo ilitokea wiki iliyopita ambapo paparazi wetu alibahatika kushuhudia laivu jamaa akijigeuzageuza kama yuko kitandani kwake.Kufuatia tukio hilo, kibaka mmoja aliamua kumgeuza dili mlevi huyo kwa kumsachi na kumchania mifuko yote ya suruali jambo
Wananchi wakifanya jitihada za kumuamsha. lililowaudhi waliokuwepo jirani na kumng’ang’ania
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top