Jeshi la polisi Mbeya limemkamata
Askari polisi mwanamke wa Dar es salaam kwa tuhuma za kumuiba mtoto
mchanga wa siku ambae aliibwa toka April 6 2014 kwa kushirikiana na
baba mzazi.
Ahmed Msangi ambae ni kamanda wa polisi Mbeya amesema ‘tulimkamata huyu
Mama na mtoto na hivi sasa Mwanamke huyu yuko mahabusu pamoja na baba
mtu, tulichofanya niliagiza OCD wa Kyela amlete mama halisi wa mtoto ili
aungane na mwanae na vilevile kukamilisha upelelezi, Mwanamke huyu
anaitwa Prisca askari Polisi Tabata mwenye namba WP5367′ SOMA ZAIDI
Post a Comment