Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

JK AHANI MSIBA WA MUHIDIN MAALIM GURUMO JIONI HII

 
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiT-fDDK7b4y2l0XSCiT4s3_ms8qlIlgYK8gBFZ4b1jlKQ-IqPN82dFSJneMcZqIktMUQMazrLJsN-zCpsFXaTrfIeV2Ak2uvgZduR011ETrWSRKHSczos9yl9MqkxINP9OXoH8vt1xuUlk/s1600/g1.jpg
Rais Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akimfariji mjane wa marehemu Muhidin Maalim Gurumo (mwenye shuka nyeupe) na wanafamilia alipokwenda kuhani msimba huo Ubungo Makuburi jioni ya leo April 15, 2014, siku ambayo marehemu alizikwa kijijini kwao Masaki, Kisarawe, Mkoa wa Pwani.
Marehemu Gurumo, aliyefariki dunia juzi katika hospitali ya Taifa ya Muhimbili kwa matatizo ya moyo, atakumbukwa kama Baba wa Muziki wa dansi nchini akianzia miaka ya 1960 na bendi mbalimbali ikiwemo NUTA Jazz na kumalizia na Msondo Ngoma kabla ya kustaafu muziki mwaka jana.
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiMOvldQ71hJ67I-QketvEsHsjjyKqaHZEnicivp4CErJbAOsPvpm1zurGqG8gWTgHcM1K27SflkeVGS1g35tg1R54jIqfRQ2vSFl4RP1axWDH9dVLG_ghFr3TIuzLeuU1-xTJIKlkUh2KG/s1600/g5.jpg
 Rais Dkt Jakaya Mrisho Kikwete pole Bw. Abdallah Muhidin Gurumo, mtoto wa marehemu Muhidin Maalim Gurumo na wanafamilia alipokwenda kuhani msimba huo Ubungo Makuburi jioni ya leo April 15, 2014,

https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjhUk4nRJ456XKGpIcU9lkSV9-VrNyWgbG31gMh5Fn6zzx44gwcGDzhwpps5Jkw3UPnD_UgmenDFXCKAy5Mp8liA3vLCxdyb_MPDv-HdSanBrheNu4r2qKP9TMLSPZGd-VTGCFEH8-pHa-s/s1600/g6.jpg
Rais Dkt Jakaya Mrisho Kikwete Bw. Omar Muhidin Maalim Gurumo na wanafamilia alipokwenda kuhani msimba huo Ubungo Makuburi jioni ya leo April 15, 2014.
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhBXEJl4GS9XvYCJ9xs9Cm1fPCBWSttubMJo5HXWT_VEQsW8CvoiJ3QhKqdkVw9FopHUZvxPtfhvpA8Db1pQIMLkK021YnZHS0KeJMfnPErGQ1ex7J11RulcTvv4lV6qlnDer7nnxjfbqZA/s1600/g3.jpg
Sehemu ya waombolezaji
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiwweV3rA_aghvitzDEFcJKVlwiwAMNQGMzF2UtDijspvzHeZdohVGJjL9UGXkx9Ajxh4JQCm4KpuDcQ1bRO4-cqK7yBrfceXq37dT0ChctsJwMWbpEsUreFRr_GjHsn0LNDYz8teVLwyDY/s1600/g7.jpg
 Mmoja wa wana familia Bw. Salim Zagar akitoa taarifa fupi ya msiba pamoja na mazishi kwa Mhe Rais
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgvOtFB3i3Zos6mSXLtoCN0Ua7MuKECbeohAFUIausPLpOZOpj7qEh5RI_27yh-5uqaBnLQXCZ1GMTqmFD0wvsAO5Klf5d-x0k_J7LWDTsKMdkgHKLgV14v1vpu8clwXMmobK8XpKgIqaDv/s1600/g8.jpg
Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Muziki wa dansi Bwana Brighton akimshukuru Rais Kikwete kwa kwenda kutoa pole ya msiba huo
CREDIT: MICUZI WEB
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top