Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

KINANA AKUTANA NA MAMA MZAZI WA WAZIRI MKUU MIZENGO PINDA

 


Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akisalimiana na Mama mzazi wa Waziri Mkuu Mizengo Pinda, Bibi, Zenita Mkaawima, alipotembelea nyumbani kwa Wazazi wa waziri Mkuu huyo, Kijiji cha Kibaoni, wilayani Mlele mkoani Katavi, jana
 
Mdogo wa Waziri Mkuu Mizengo Pinga, Wofgaga Pinda, akimkaribisha Katibu Mkuu wa CCM Abdulrahman Kinana, alipowasili nyumbani kwa wazazi wa Waziri Mkuu, katika kijiji cha Kibaoni, mkoani Katavi. 
 
Kinana akiwa katika mazungumzo na Mama wa Waziri Mkuu, na mdogo wa waziri huyo mkuu, leo. Kulia ni Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi Nape Nnauye
 
Kinana na Nape na Balozi Ali Karume (wapili kulia) wakiwa  katika picha ya pamoja na mama mzazi wa Waziri Mkuu, wakiwa katika picha ya pamoja nyumbani kwa Mama huyo, Kibaoni mkoani Katavi.
 
Kinana akiagana na mama wa waziri
 
Nape akimfurahia mtoto aliyemtania kwa jina la Pinda, yeye na Kinana walipotembelea nyumbani kwa wazazi wa Waziri Mkuu Mizengo Pinda leo
 
Kinana akikagua tanki la mradi wa maji wa  Kijiji cha Kibaoni mkoani Katavi
 Kinana akiwatuza wasanii waliotumbuiza baada ya kuwasili katika kijiji cha Kibaoni mkoani Katavi
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akikagua mashine ya kukoboa mpunga katika Kata ya Majimoto, mkoani Katavi
 
Nape akishiriki ujenzi wa shule ya msingi Majimoto
 
Kinana akishirikiana na wananchi wengine kusogeza matofali kwa ajili ya ujenzi wa shule ya msingi Majimoto mkoani Katavi
Katibu Mkuu wa CCM Abdulahman Kinana akibeba zege wakati akishiriki ujenzi wa shule ya Majimoto wilayani Mpanda mkoa wa Katavi.
Picha zote na Bashir Nkoromo
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top