Siku
kadhaa zilizopita kuliwahi kulipotiwa na kuonesha picha Irene Uwoya
akimtomasa sehemu nyeti Msanii mwenzake wa maigizo Haji Adam na kuzua
mambo mengi hasa katika mitandao ya kijamii, lakini haikuishia
hapowawili hawa wamekuwa wakionekana pamoja mara kwa mara tena nyakati
za usiku na pozi zao zinaonyesha ishara ya mahaba,
ndipo
swahilitz iliamua kumtafuta Haji Adam lakini hatukuweza kumpata
vilevile ilitokea kwa irene uwoya kwani namba yake ilikuwa haipatikani
ndipo tulibahatikakupata mawasiliano ya rafiki wa karibu na Irene ndipo
akafunbguka "Mbona hao wapenzi kitambo sema nyiye mmechelewa kufahamu
ukweli tu" alimaliza rafiki huyo
on Tuesday, April 29, 2014
Post a Comment