Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

MTITU AKESHA AKIMUOMBEA BABA YAKE

 
MSANII wa filamu za Kibongo, William Mtitu ameelza kuwa, anakesha na kuomba ili Mungu amuwezeshe kumponya baba yake mzazi, Mzee John Mtitu ambaye yuko hoi hospitali kutokana na kuugua kwa muda mrefu.
Mzee John Mtitu akiwa hospitali.
Akizungumza kwa huzuni Mtitu alisema ni muda mrefu umepita tangu baba yake aanze kuugua na  kulazwa Taasisi ya Mifupa Moi akisumbuliwa na uvimbe kichwani hali iliyomsababishia afanyiwe upasuaji.
Msanii wa filamu za Kibongo, William Mtitu.
“Yaani nimehangaika sana na baba yangu, nimemaliza fedha nyingi yaani namuombea tu kwa Mungu amponye maana alifanyiwa upasuaji wa kichwa ni siku tano sasa hajazinduka,” alisema Mtitu.



               
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top