Mtu mmoja
ameuawa maeneo ya Mbezi Salasala,kwa mujibu wa shuhuda alisema kuwa mtu
huyo alikuwa anaomba msaada majira ya saa kumi alfajiri,ambapo kuna
watu walikuwa wakimpiga kwa kumkatakata mapanga na kutaka kumchoma
moto,haijajulikana kama alikuwa mwizi au kauawa na vibaka.
Source: Clauds Fm.



Post a Comment