Mazishi
ya Mzee Gurumo yamefanyika leo katika kijiji cha Masaki kilichopo
wilaya ya Kisarawe Mkoa wa Pwani ambako mamia ya watu yalikusanyika
kumsindikiza kwenye safari yake ya mwisho.
Miongoni mwa watu waliohudhuria mazishi haya ni pamoja na Wasanii
Ally Choki, Super Nyamwela,Mzee Zahir Zoro,Profesa Jay na wanamuziki
wengine wa band mbalimbali Tanzania.
Post a Comment