Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

Picha kutoka nyumbani kwa marehemu Mzee Gurumo Dar usiku huu ... yanayoendelea sasa


6gulumo
Maandalizi ya maziko ya Mwanamuziki Mkongwe Muhidin Gurumo aliefariki saa nane mchana kwenye hospitali ya taifa Muhimbili bado yanafanywa ambapo millardayo.com imefika nyumbani kwa marehemu usiku huu na kuongea na mtoto wa kwanza wa marehemu Abdallah Muhidin Gurumo.

Abdallah amesema mpaka sasa kama familia imeamua maziko yafanyike Jumanne April 15 2014 saa nne asubuhi kwenye kijiji cha Masaki wilaya ya Kisarawe Mkoa wa Pwani.
16gulumo
14gulumo
13gulumo
12gulumo
10gulumo
11gulumo
8gulumo
7gulumo
6gulumo
15gulumo

Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top