Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

Pombe siyo Maji!!! TAZAMA ZILIVYOMFANYA POLISI HUYU MKESHA WA PASAKA HUKO GEITA

 

 Ukisikia pombe siyo maji ,ukweli inabidi ubaki pale pale,pichani ni sajenti wa jeshi la polisi katika kituo cha polisi wilayani Geita aliyejulikana kwa jina moja la Geradi akiwa amelewa chakali kwenye eneo karibu na barabara kuu itokayo Geita kwenda Mwanza akiwa hajitambui siku ya mkesha wa pasaka kama unavyoona hapo pichani kamera za mwandishi wetu kutoka mkoani Geita zilivyomnasa


Pombe bwana!!,tumia kiasi.......

Imecotwa: malunde web
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top