Uwoya
amchana live mpenzi wa Flora Mvungi i.e H-baba kwamba hafai katika
mapenzi kwa sababu hana stamina katika uwanja wa 6 kwa 6. Flora
Mvunginaye akaja juu na kudai kwamba maneno ya Uwoya ni maneno ya
mkosaji na akadai zaidi kwamba H-baba hana tatizo katika mapenzi na yuko
fiti ile mbaya.
Wakati malumbano yakiendelea,dada mmoja akapiga simu clouds fm,akakataa kutaja jina lake lakini naye akazidi kuchagiza kwamba H-babasi lolote si chochote katika ulingo wa ma-lovey dovey,ana mbwembwe za kukata viuno jukwaani tu.Haya ndio mapenzi ya ma-star wa ki-bongo
Wakati malumbano yakiendelea,dada mmoja akapiga simu clouds fm,akakataa kutaja jina lake lakini naye akazidi kuchagiza kwamba H-babasi lolote si chochote katika ulingo wa ma-lovey dovey,ana mbwembwe za kukata viuno jukwaani tu.Haya ndio mapenzi ya ma-star wa ki-bongo




Post a Comment