Mgeni
Rasmi wa maonyesho ya miaka 50 ya Muungano ,Makamu wa Kwanza wa Rais wa
Serikali ya Mapinduzi Zanzibar Seif Sharif Hamad akitoa hutuba ya
ufunguzi wa maonyesho hayo katika viwanja vya Mnazi mmoja jijini Dar es
Salaam.
Kikundi
cha ngoma toka Jeshi la Kujenga Taifa kikitumbuiza kwenye uzinduzi wa
maonyesho ya miaka 50 ya Muungano katika viwanja vya Mnazi mmoja
Makamu
wa Pili wa Rais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar Mheshimiwa Mohamed
Abood akiongea wakati wa uzinduzi wa maonyesho ya miaka 50 ya Muungano
katika viwanja vya mnazi mmoja jijini Dar Es SaLAAMchungu
na kibuyu vilivyotumika na waasisi wa Muungano kuchanganya udongo mwaka
1964, vinapatikana katika banda la Ofisi ya Makamu wa Rais.Mgeni
Rasmi wa maonyesho ya miaka 50 ya Muungano ,Makamu wa Kwanza wa Rais wa
Serikali ya Mapinduzi Zanzibar Seif Sharif Hamad akipata maelekezo toka
kwa Afisa wa Muungano Cecilia Nkwamu alivyotemebelea banda la Ofisi ya
Makamu wa Rais katika viwanaj vya mnazi mmojaMgeni
Rasmi wa maonyesho ya miaka 50 ya Muungano ,Makamu wa Kwanza wa Rais wa
Serikali ya Mapinduzi Zanzibar Seif Sharif Hamad akiwa ndani ya Banda
la Ofisi ya Makamu wa Rais akipata maelekezo juu ya chungu na vibuyu
vilivyotumika kuchanganya udongo wakati wa Muungano wa Tanganyika na
Zanziabr mwaka 1964Wananchi
mbalimbali waliojitokeza kutemebelea banda la Ofisi ya Makamu wa Rais
wakiangalia majarida mbalimbali bandani hapo na kusaini kitabu cha
wageni.
Post a Comment