Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

WANANDINGA 16 WACHAGULIWA MABORESHO YA TAIFA STARS TUKUYU!!

 


DSC00167WACHEZAJI  16 kati ya 34 wa kikosi cha Maboresho ya Timu ya Taifa (Taifa stars) wamechaguliwa kutoka kwenye kambi iliyokuwa ikifanyika katika Uwanja wa Chuo cha Ualimu Tukuyu Wilaya ya Rungwe mkoani Mbeya .
 Kikosi hicho  kimetangazwa leo jijini Mbeya na Kocha Msaidizi, Salum Mayanga, aliyekuwa na timu hiyo katika Mkutano na waandishi wa Habari uliofanyika katika ukumbi wa Hoteli ya Hill View iliyopo mjini humo.
 Mayanga aliwataja wachezaji hao kuwa ni Mlinda mlango Benedict Tinoko Mlekwa kutoka Mara.
Walinzi wa kati:  Emma Namwondo Simwanda kutoka Temeke na Joram Nason Mgeveja kutoka Iringa.
 Walinzi  pembeni : Omari Ally Kindamba kutoka Temeke, Edward Peter Mayunga kutoka Kaskazini Pemba na Shirazy Abdallah Sozigwa kutoka Ilala,viongo wa Ulinzi ni Yusufu Suleiman Mlipili na Said Juma Ally kutoka Mjini Magharibi.

Kusoma zaidi bofya www.bkmtata.blogspot.com
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top