Muda mchache
baada ya klabu ya Manchester United kuthibitisha kumtimua kazi kocha
David Moyes, shirika la utangazaji wa Uingereza BBC limetangaza kwamba
makocha wasaidizi wa Moyes, Steve Round na Jimmy Lumsden nao
wameondolewa kwenye vibarua vyao.
Wakati huo huo imethibitishwa kwamba Ryan Giggs na Nicky Butt wataiongoza timu hiyo katika michezo minne iliyobakia.
Hata
hivyo mpaka sasa majina ya kocha Uholanzi Louis Van Gaal, wa Borussia
Dortmund Jurgen Klopp, Atletico Madrid’s manager Diego Simeone na Ryan
Giggs wanatajwa kuewa nafasi ya kuifundisha timu hiyo kuanzia msimu
ujao.
Post a Comment