Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

WASAIDIZI WA MOYES, STEVE ROUND NA JIMMY LUMSDEN NAO WATIMULIWA

 



David-Moyes


Muda mchache baada ya klabu ya Manchester United kuthibitisha kumtimua kazi kocha David Moyes, shirika la utangazaji wa Uingereza BBC limetangaza kwamba makocha wasaidizi wa Moyes, Steve Round na Jimmy Lumsden nao wameondolewa kwenye vibarua vyao.

Wakati huo huo imethibitishwa kwamba Ryan Giggs na Nicky Butt wataiongoza timu hiyo katika michezo minne iliyobakia.

Hata hivyo mpaka sasa majina ya kocha Uholanzi  Louis Van Gaal, wa Borussia Dortmund Jurgen Klopp, Atletico Madrid’s manager Diego Simeone na Ryan Giggs wanatajwa kuewa nafasi ya kuifundisha timu hiyo kuanzia msimu ujao.
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top