Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

Big Brother Africa 2014 Yatangaza Tarehe Ya Usaili Kwa Tanzania.

 

Shindano la Big Brother Africa 2014 limetangaza tarehe za usaili katika nchi mbalimbali za Afrika zitakazoshiriki huku kwa Tanzania tarehe ya usaili ikipangwa kuwa 11-12 July katika hoteli ya New Africa Hotel, Dar es salaam.

Mshindi wa mwaka huu atajinyakulia kitita cha $300,000.
Nchi zinazoshiriki mwaka huu ni Botswana, Ethiopia, Ghana, Kenya, Malawi, Namibia, Nigeria, Rwanda, Sierra Leone, South Africa, Tanzania, Uganda, Zambia na Zimbabwe.
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top