Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

DAVID LUIZ ASAINI MKATABA WA MIAKA MITANO PSG KWA DAU NONO LA PAUNDI MILIONI 50


Cause to celebrate: David Luiz, with Brazil on Thursday, has sealed a five-year deal at PSG

DAVID Luiz amekamilisha uhamisho wake kutoka klabu ya Chelsea na kujiunga na Paris St Germain ambapo amesaini mkataba wa miaka mitano na mabingwa hao wa Ufaransa.
Luiz - aliyeanza katika kikosi cha kwanza cha  Selecao kwenye mechi ya ufunguzi wa kombe la dunia na kushinda mabao 3-1 dhidi ya Croatia anaondoka Stamford Bridge kwa dau nono la paundi milioni 50million.
Miamba hiyo ya Ufaransa imetangaza katika mtandao wa klabu ikisema:  'Paris Saint-Germain tuna furaha kutangaza kuwa uhamisho wa mcheza wa kimatifa wa Brazil, David Luiz kutoka Chelsea FC,umekamilika kwa kusaini mkataba wa  miaka mitano',

Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top