Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

England yaanza vibaya kombe la dunia.....Yachapwa 2-1 na Italia



Straika wa Italia, Mario Balotelli (kushoto) akiifungia timu yake bao la ushindi dhidi ya England usiku huu.

Timu ya Taifa ya England imeanza vibaya kombe la dunia baada ya kukubali kichapo cha mabao 2-1 dhidi ya timu ya Taifa ya Italia maarufu kwa jina la Azzuri mjini Manaus katika mchezo wa kundi D.
 
Italia walikuwa wa kwanza kuandika bao la kuongoza katika dakika ya 35 kupitia kwa Claudio Marchisio, lakini katika dakika ya 37, Daniel Sturridge aliisawazishia England bao hilo akiunganisha krosi nzuri iliyochongwa na Wayne Rooney kutoka wingi ya kushoto.
`Supa` Mario Balotelli ndiye aliwaua England baada ya kuandika bao la pili kwa njia ya kichwa katika dakika ya 50.

Kikosi cha England kilichoanza: Hart, Johnson, Cahill, Jaglielka, Baines, Gerrard, Henderson, Sterling, Rooney, Welbeck and Sturridge
Kikosi cha Italia kilichoanza: Sirigu, Chiellini, Paletta, Barzagli, Darmian, De Rossi, Pirlo, Veratti, Candreva, Marchisio and Balotelli.
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top