Je,ni sahihi kweli kwa msomi wa diploma,digrii au masters kupigania ajira isiyo na uhakika?je wewe na mimi tunaweza kufanya mangapi na kufanikiwa bila kuajiriwa?mfano leo ukakosa kuendelea na usaili wa pili ktk hatua inayofuata,je unategemea kuendelea kukimbizana na bahasha mpaka lini?hayo ni majibu yanayotuumiza kichwa sana kwani kadiri siku zinavyoenda tunaongezeka wahitimu mtaana,na ajira zinapungua..jiulize sisi tuliobahatkia kufanya huu usaili yaani tulliitwa zaidi ya 10,000 na ajira zipo 70,ni asilimia ngapi ya watanzania?na tulioitwa chuo cha mwalimu nyerere ni asilimia ngapi pia ya watanzania wasomi?Sisi tumeamua kutafuta ajira mpya isiyo na bugudha wala vurugu,njoo Holliday Inn jumanne saa sita kamili mchana tuzungumze pamoja,hakuna kiingilio..Tupigie 0784778788 tukueleze..Kwa pamoja tutashinda
Loading...
BLOG RAFIKI
-
-
-
-
-
-
-
-
‘Vyama vya Ushirika badilikeni’9 hours ago
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
Post a Comment