KIKOSI cha Uruguay kimelala kwa bao 3-1 dhidi ya Costa Rica katika mechi ya kundi D kwenye Fainali za Kombe la Dunia 2014 zinazoendelea nchini Brazil.
Katika mechi hiyo, mshambuliaji mahiri wa Uruguay na Liverpool Luis Suarez alianzia benchi na kumalizia mechi benchi yaani hakucheza kabisa licha ya kuwepo kwenye orodha ya wachezaji wa akiba, na hii inatokana na kushindwa kuimarika ipasavyo kutoka kwenye majeruhi ya goti alilofanyiwa upasuaji.
Katika mechi hiyo, mshambuliaji mahiri wa Uruguay na Liverpool Luis Suarez alianzia benchi na kumalizia mechi benchi yaani hakucheza kabisa licha ya kuwepo kwenye orodha ya wachezaji wa akiba, na hii inatokana na kushindwa kuimarika ipasavyo kutoka kwenye majeruhi ya goti alilofanyiwa upasuaji.
Wafungaji wa Costa Rica waliopeleka maumivu Uruguay ni Joel Campbell, Oscar Duarte na Marcos Urena. Uruguay walipata bao lao kwa mkwaju wa penalti kupitia kwa Edinson Cavani.
Post a Comment