Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

WATATU WAJERUHIWA RRM ALFAJIRI YA LEO BAADA YA GARI LAO KUPINDUKA WAKIWAHI NDEGE UWANJA WA NDEGE SONGWE.

 











Watu watatu wamejeruhiwa leo alfajiri na kukimbizwa hospitali baada ya Gari lao dogo kupata ajali wakiwahi Ndege katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa Songwe . Chanzo cha ajali hiyo ni mwendo kasi na alikuwa akilipita gari lengine na mbele kukawa na Gari lengine nalo linakuja kwa mwendo na ndipo lilipo mshinda , akagonga nguzo za taa barabarani Kisha Kupinduka. Hata hivyo wasafiri hao safari yao iliishia RRM. 

PICHA NA MBEYA YETU
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top