Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

BUNGE LA AFRIKA MASHARIKI KUFANYA KIKAO CHAKE CHA BUNGE KARIMJEE DAR ES SALAAM, JK KUUFUNGUA




Spika wa Bunge la Jumuia ya Afrika Mashariki (EALA) Dk. Margaret Nantongo  Zziwa  akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari katika ofisi za Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dar es Salaam leo juu ya  mkutano wa kwanza wa Bunge la tatu unaotaraji kuanza leo katika ukumbi  wa Karimjee na kufunguliwa na Rais Jakaya Kikwete kesho kutwa. 


 Spika wa Bunge la Jumuia ya Afrika Mashariki (EALA) Dk. Margaret Nantongo  Zziwa akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari katika ofisi za  Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dar es Salaam jana juu ya  mkutano wa kwanza wa Bunge la tatu unaofanyika ukumbi wa Karimjee.  Wengine kutoka kushoto ni Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Ushirikiano wa  Afrika Mashariki, Amantius Msole, wabunge wa EALA kutoka Tanzania Twaha  Taslima na Shy Rose Banji


Mbunge wa Bunge la Afrika Mashariki na Mwenyekiti wa Wabunge kutoka Tanzania,  Adam Kimbisa, akifafanua jambo kwa waandishi wa habari katika ofisi za  Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dar es Salaam leo, juu ya  mkutano wa kwanza wa Bunge la tatu unaofanyika ukumbi wa Karimjee.  Kushoto ni Spika wa Bunge la Jumuia ya Afrika Mashariki (EALA) Dk. Margaret Nantongo  Zziwa,wabunge wa EALA kutoka Tanzania, Twaha Taslima na Shy Rose Banji. PICHA ZAIDI --FATHER KIDEVU BLOG
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top