Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

FUSO YAMGONGA NA KUMUUA MWENDESHA BAISIKELI IFAKARA MOROGORO

 


Mwili wa marehemu ukiwa eneo la ajali. Pembeni ni baiskeli yake.
Baiskeli ya marehemu ikipakiwa kwenye gari.
Wananchi wakiwa eneo la ajali.
MWENDESHA baiskeli ambaye hakufahamika jina lake mara moja amepoteza maisha baada ya kugongwa na lori aina ya Fuso eneo la Kibaoni, Ifakara mkoani Morogoro jana.
Marehemu anadaiwa kuwa ni mlinzi wa Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco) mkoani humo.
PICHA NA GPL
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top