Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

JOSE CHAMELEONE ATUA BONGO, KUPAGAWISHA MAISHA CLUB

 

                               

Chameleone akitoka uwanja wa ndege kuelekea kwenye gari.
…Akiwa na wenyeji wake waliofika kumpokea.

…Akisalimiana na mmoja wa wafanyakazi wa ukumbi wa New Maisha Club anayejulikana kwa jina la HK.
…Akitaniana na wenyeji wake.

MWANAMUZIKI kutoka nchini Uganda, Jose Chameleone, alitua Dar es Salaam jana saa mbili usiku tayari kwa kufanya shoo ya nguvu leo katika ukumbi wa New Maisha Club uliopo Masaki jijini Dar.
Akizungumza na mtandao huu muda mfupi Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere, Chameleone alisema kuwa amekuja Bongo kuwapagawisha watu kiburudani hivyo mashabiki wake wafike kuona vitu vyake vipya.
(Picha/ Habari: Shakoor Jongo/ GPL)

                GPL
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top