Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

Liverpool kumenyana na Madrid Uefa


Kocha wa Liverpool Brendan Rodgers


Washindi mara tano wa kombe la klabu bingwa barani ulaya Liverpool watakutana mabingwa watetezi wa kombe hilo Real Madrid.
Liverpool ikiwa imerejea tena kwenye michuano hiyo baada ya kutokuwepo kwa kipindi cha miaka mitano, pia wako kwenye kundi moja na Basel na Ludogorets ya Bulgaria.
Manchester City itakutana na Bayern Munich kwa mara ya tatu katika misimu minne,halikadhalika CSKA Moscow itamenyana na Roma.

Arsenal itakabiliana na Borussia Dortmund katika msimu wa pili,nayo Chelsea itamenyana na Schalke,pia Lisbon na Maribor.
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top