Lori aina ya Scania likiwa limeharibika baada kupata ajali kwa kuligonga
lori lingine kwa nyuma lililosimama ghafla kwenye tuta katika Kijiji
cha Isuna, Barabara ya Singida-Dodoma leo. Inadaiwa dereva wa lori hilo
alikufa.
Waziri Mkuu Mwigulu Akutana na Mohamed Janabi Brazzaville
54 minutes ago



Post a Comment