Msanii wa
muziki wa bongo fleva Nasibu Abdul 'Diamond' amemzawadia mpenzi wake
Beutiful onyinye Wema Sepetu gari kama zawadi ya kumbukumbu ya kuzaliwa
ya Wema Sepetu na kuandika ujumbe huu....
Nlitama
nikupe vingi, wenda ingenisaidia kueleza ni kias gani napenda nikuone
ukifurahi kwenye siku yako hii ya kuzaliwa...lakini tu, sina uwezo huo
mumy... tafadhari pokea kidogo hichi nlichojaaliwa leo.... na siku zote
tambua kwamba your Platnumz, love you so much...! Happy Birthday baby!
Post a Comment