Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

HATIMAYE MTITU AFUNGUKIA BIFU LAKE NA STEVE NYERERE!



BAADA ya tetesi kuzagaa kwamba aliyekuwa Katibu wa Bongo Movie Unity, William Mtitu kwamba ana bifu kali na aliyekuwa mwenyekiti wa kundi hilo, Steven Mengere ‘Steve Nyerere’ mwenyewe amefunguka kwamba hawezi kufanya kitu kama hicho.Aliyekuwa Katibu wa Bongo Movie Unity, William Mtitu. Akistorisha na paparazi wetu, Mtitu amesema anashangazwa na taarifa hizo licha ya kwamba hawajawahi kuzungumza na Steve tangu alipoachia ngazi ya ukatibu.
“Sijawahi kutishia kuua mtu kama watu wanavyosema, Steve ni mdogo wangu hivyo kama atakuwa na bifu na mimi ni yeye na sitajali kwani wangekuwa ni kina Ray au wasanii wengine wakubwa wamenichunia ningewaza lakini huyo haniumizi kichwa,” alisema Mtitu.
Aliyekuwa mwenyekiti wa kundi hilo, Steven Mengere ‘Steve Nyerere’. Maddi yaliyopo mtaani ni kwamba, wasanii hawa kwa sasa ni kama paka na panya na imefika hatua ya kutishiana kuuana.
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top