a href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/10/Untitled.jpg">
Shirika
linalojibidisha na kutetea na kulinda watu wenye ulemavu wa ngozi
nchini Under the Same Sun, (UTSS) limeteuliwa kushindania Tuzo ya Haki
za Binadamu ijulikanayo kama "Tulip" itolewayo nchini Uholanzi. Iwapo
UTSS watashinda tuzo hiyo, ni dhahiri kwamba kutakuwa na mapinduzi
makubwa katika uboreshaji wa maisha ya watu wenye ulemavu wa ngozi.
Shiriki
kwa kupiga kura ili UTSS washinde Tuzo hii na kulinda ndugu zetu wenye
Ulemavu wa Ngozi Tanzania kwa kupiga kura hapa chini na kusambambaza
tarifa hizi kwa taasisi na watu mbalimbali.
Kwa kupiga kura hiyo bofya hapa


Post a Comment