Mwili
wa aliyekuwa Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM), Profesa
Athuman Livigha ukiwasili nyumbani kwake Bunju jijini Dar leo.
Makamu
Mkuu wa UDSM, Profesa Rwekaza Mukandala (wa pili kushoto) akiwa na
Mwenyekiti wa Chadema Taifa, Freeman Mbowe (wa tatu kushoto) msibani
kwa Profesa Athuman.
Mwili wa Profesa Athuman ukiingizwa nyumbani kwake Bunju, Dar.
Baadhi ya waombolezaji wakiwa nyumbani kwa marehemu.
Mwili wa marehemu ukiombewa kabla ya maziko.
Mwili wa Profesa Athuman Livigha ukipelekwa makaburini kwa maziko.
Mwili wa
aliyekuwa Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM), Profesa
Athuman Livigha, aliyefariki dunia baada ya kupigwa risasi na watu
wanaosadikiwa kuwa ni majambazi nyumbani kwake, Bunju jijini Dar es
Salaam umezikwa leo.
Marehemu aliuawa uSeptemba 30, mwaka huu majira ya saa 3 usiku akiwa nyumbani kwake. (PICHA: MAKONGORO OGING' NA HARUNI SANCHAWA / GPL)


Post a Comment