Rais
Jakaya Mrisho Kikwete akiwa na Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe Saidi
Meck Sadik baada ya kuwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa
Julius Nyerere jijini Dar es salaam leo Septemba 30, 2014 akitokea
Marekani alikohudhuria Mkutano wa 69 wa Umoja wa Mataifa.Rais
Jakaya Mrisho Kikwete akiongea na Mnadhimu Mkuu wa Jeshi la Ulinzi la
Wananchi Tanzania (JWTZ), Luteni Jenerali Samuel Ndomba mara baada ya
kuwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere jijini
Dar es salaam leo Septemba 30, 2014 akitokea Marekani alikohudhuria
Mkutano wa 69 wa Umoja wa Mataifa.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiongea na IGP Ernest Mangu, Mnadhimu Mkuu wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi Tanzania (JWTZ), Luteni Jenerali Samuel Ndomba na Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe Saidi Meck Sadik baada ya kuwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es salaam leo Septemba 30, 2014 akitokea Marekani alikohudhuria Mkutano wa 69 wa Umoja wa Mataifa.
Rais
Jakaya Mrisho Kikwete akilakiwa na wakuu wa vyombo vya ulinzi na
usalama baada ya kuwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa
Julius Nyerere jijini Dar es salaam leo Septemba 30, 2014 akitokea
Marekani alikohudhuria Mkutano wa 69 wa Umoja wa Mataifa.
PICHA NA IKULU
Post a Comment