Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

Spika wa Bunge Anne Makinda, Mbowe, Lukuvi ziarani nchini Oman

 Mhe Spika Anne Makinda wakati akipokelewa uwanjani mara baada ya kuwasili.
 Mhe Spika wa Bunge Anne Makinda akiwa na Naibu Spika wa Majlis A'Shura Sheikh Abdullah Al Majaali aliyempokea katika uwanja wa ndege wa Muscat International Airport.
Mhe Spika akiwa na wenyeji wake pamoja na sehemu ya ujumbe wake. Wa kwanza kulia ni Kiongozi wa Upinzani Bungeni, Mhe Freeman Mbowe na Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera Uratibu na Bunge), Mhe William Lukuvi. Wa kwanza kushoto ni Mhe Ally Saleh, Balozi wa Tanzania nchini Oman. Mhe Spika yuko katika ziara rasmi ya kibunge ya siku sita.
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top